Waziri mkuu wa japani Naoto Kan ametangaza kujihuzulu rasmi baada ya kiwango cha kukubaliwa kwake kushuka kutokana na majanaga yaliyoikumba japani ya tetemeko la ardhi na tsnami, ametangaza kujiuzulu ijumaa. Kan alitangaza kujiuzulu kwake katika mkutano na wanachama wa chama tawala cha Democratic cha nchini japani. Kan amekuw a akishinikizwa ajiuzulu toka march 11,kufuatia matetemeko ya ardhi na tsunami ilyoikumba nchi hiyo pamoja na kuvuja kwa mionzi ya nuclear nchini humo
No comments:
Post a Comment