Waziri wetu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jana amemwita ofisini kwake Balozi wa Libya nchini Prof. Ahmed Al Ash'hab. Kisa? Ubalozi huo umebadilisha bendera ya Libya, kuondoa iliyokuwa ikitumika enzi za Gaddafi na kuweka inayotumiwa sasa nchini Libya. Ubalozi huo unaambiwa umefanya hivyo bila kufuata utaratibu. Je, hii imekaaje? Picha na Tagie Mwakawago wa Mambo ya Nje.
No comments:
Post a Comment