Saturday, August 13, 2011

WAZIRI MKUU AZINDUA NYUMBA ZA MAKAZI MEDALI MJINI DODOMA


Waziri mkuu Mh Mizengo Pinda (katikati) akienda kuzindua majengo ya makazi medeli mjini Dodoma jana,(kushoto)ni mkurugenzi mkuu wa shirika la nyumba la Taifa (NHC),bwana Nehemia Mchechu akifuatiwa na waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi Prof Anna Tibaijuka na spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Anne Makinda.

Waziri mkuu Mh mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa majengo ya makazi ya Medali mjini Dodoma jana (kushoto) Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mh prof.Anna Tibaijuka

Wananchi mbalimbali wakifuatilia hotuba iliyokuwa ikitolewa n a Waziri mkuu katika uzinduzi wa ujenzi wa majengo ya makazi huko Medali mjini Dodoma Jana

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code