Katibu
mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi. Mary Massay akitoa
ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu zoezi la upigaji wa kura linaloendelea
duniani kote kwa ajili ya kupata Nembo rasmi ya Haki za binadamu itakayotumika
duniani. Tanzania ikiwa miongoni mwa nchi zilizoridhia mkataba wa kimataifa wa
Haki za Binadamu inashiriki zoezi hilo kwa wananchi kupiga kura kuchagua nembo
inayofaa kati ya kumi zilizopendekezwa kupitia mtandao wa www.humanrightslogo.net
kabla ya tarehe 17 mwezi
No comments:
Post a Comment