Thursday, September 22, 2011

Rais Jakaya Kikwete Apokea Tuzo Mbili Maalum Kwa Mchango Wake Mkubwa Katika Afya ya Mama Mjamzito na Watoto,Akutana Na Viongozi Mbalimbali

Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akihudhuria mkutano wa 'Social Good Summit' anapokea tuzo kutoka United Nations Foundartion for his work in Martenal Health and Social Media Commitment kutoka kwa Makamu wa Rais wa Public Policy of United Nations Foundation Mr. Peter Yeo katika sherehe fupi iliyofanyika jijini New York .
Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mheshimiwa Ban Ki- Moon kwenye Makao Makuu ya Umoja Mataifa jijini New York nchini Marekani.Kwa Picha

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code