Friday, September 2, 2011

Dr. Dalaly Peter Kafumu Achukua Fomu Kuwania Ubunge Igunga


MKURUGENZI wa Uchaguzi jimbo la Igunga Magayane Protace (kulia) akimkabidhi fomu za kuwania ubunge wa jimbo hilo, mgombea mteule wa CCM Dk. Dalally Kafumu , jana. Wengine ni Katibu wa CCM wilaya ya Igunga Neema Adamu na Msimamizi wa masuala ya uchaguzi wa CCM, Matson Chizi.(Picha na Bashir Nkoromo)

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code