Friday, September 2, 2011

Ngeleja Azindua Kamati Ya Uagizaji Wa Pamoja Wa Mafuta



Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja (kulia), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Kamati ya Uagizaji Mafuta leo asubuhi katika hoteli ya Morvernpick jijini Dar es Salaam. Ngeleja alisema kuwa kamati hiyo inatarajiwa kuanza kazi mwishoni mwa mwaka huu na alionya kuwa kampuni yoyote ya mafuta itakayokiuka kanuni za uagizaji wa pamoja wa mafuta, itachukuliwa hatua kali za kisheria sambamba na kufutiwa leseni. Picha na Victor Makinda

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code