Saturday, September 24, 2011

WAATHIRIKA WA MABOMU YA GONGO LA MBOTO WAKIWA KWENYE FOLENI TAYARI KWA KUPOKEA MALIPO YA FIDIA YA NYUMBA ZAO


Baadhi ya wakazi wa Kata ya Majohe Gongolamboto wakiwa katika foleni Dar es Salaam jana ya uhakiki ili kupokea malipo ya fidia ya thamani za ndani na matengenezo ya nyumba zilizoathirika na milipuko ya mabomu iliyotokea kwenye Kambi ya Jeshi la Wananchi (JWTZ) mwezi Februari mwaka huu.Picha Na Majira

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code