Soko la sido lililopo katika eneo la Mwanjelwa mkoani Mbeya linateketea kwa moto, taarifa za awali zimebainisha kuwa kikosi cha zimamoto kinafanya jitihada za kuuzima, hata hivyo chanzo cha moto huo bado hakijaelezwa, soko hilo ni chimbuko la lililokuwa soko la mwanjelwa lililoteketea kwa moto miaka mitano iliyopita. kwa taarifa zaidi ungana nasi baadaye |
No comments:
Post a Comment