Saturday, October 8, 2011

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Petrobras, Bw. Fernando Jose Cunha

5527 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Petrobras, Bw. Fernando Jose Cunha kwenye Ofisini kuu ya kampuni hiyo, Rio de Janeiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil Oktoba 7,2011. Kampuni hiyo imeanza kazi ya kutafuta mafuta kwenye pwani ya Mtwara nchini.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Petrobras, Bw. Fernando Jose Cunha (kushoto kwake) kwenye Ofisini kuu ya kampuni hiyo, Rio de Janeiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil Oktoba 7,2011. Kampuni hiyo imekwishaanza kutafuta mafuta kwenye pwani ya Mtwara. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Ardhi, Maendeleo ya Makazi, Maji na Madini wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ali Juma Shamuhuna, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dr. Mary Nagu na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja.
5513 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Uongozi wa juu wa Kampuni ya Mafuta ya Petrobras kwenye Ofisini kuu ya kampuni hiyo, Rio de Janeiro akiwa katika ziara ya kikazi nchini Brazil Oktoba 7,2011 Kampuni hiyo imekwishaanza kutafuta mafuta kwenye pwani ya Mtwara.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code