Friday, September 16, 2011

BREAKING NEWS PICHA NA MATUKIO YA KUUNGUA KWA SOKO LA MWANJELWA KIWANJA CHA SIDO

wananchi mbalimbali wakishuhudia tukio la kuungua kwa moto sopko la mwanjelwa
Moto mkubwa ukiendelea kuwaka
Baadhi ya mabanda sokono hapo tayari yameteketea kabisa na moto
Kama kawaida kikosi cha zimamoto mbeya kimeendelea na maigizo yake ya kuja kwenye tukio na gari bovu hapa wanaonekana askari wa kikosi hicho wakibishana huku moto ukiendelea
Kufa kufaana kibaka tayari ameshaiba huyooo anatimka
Dada nae hayuko nyuma katika wizi keshachukua kapeti
Umati wa watu ukiwa unaangalia soko linavyoteketea
Mama huyu akilia kwa uchungu akiangalia duka lake likiteketea kwa moto

Picha na habari kwa hisani ya mbeya yetu blog

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code