Wednesday, August 17, 2011

JWTZ YAWAAGA MAJENERALI WASTAAFU


Maafisa wa Jeshi la wananchi Tanzania na Jeshi la Kujenga Taifa wakisukuma gari maalum kwa ikiwa ni ishara ya kuwaaga Mameja Jenerali wastaafu wa Jeshi hilo mara baada ya gwaride rasmi la kuwaaga jana katika Kambi ya Abdallah Twalipo jijini Dar es salaam. Kulia ni Meja Jenerali (mstaafu) Yodan Mtaluma Koyi na Meja Jenerali(mstaafu) Salim Suleiman.


Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Jenerali Davis Mwamunyange (katikati) akiongea na waandishi wa habari jana katika kambi ya Abdallah Twalipo jijini Dar es salaam mara baada ya gwaride rasmi la kuwaaga Mameja Jenerali na Brigedia Jenerali waliostaafu.

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code