Monday, October 3, 2011

RAISI MUSEVENI ATUA DAR ES SALAAM NA KUPOKELEWA NA RAISI KIKWETE


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo mchana kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakikagua gwaride la heshima muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo mchana kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda wakikagua gwaride la heshima muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo mchana kwa ziara ya kikazi ya siku moja.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mgeni wake Rais Yoweri Kaguta Museveni muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo ikulu jijini Dare s Salaam leo mchana.Rais Museveni yupo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja
Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akimkaribisha Rais wa Uganda Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni (kulia) leo jijini Dar es salaam mara baada ya kuwasili kwa ajili ya ziara ya siku moja ya kikazi nchini Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiongozana na mgeni wake Rais wa Uganda Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni (kulia) leo jijini Dar es salaam mara baada ya kuwasili kwa ajili ya ziara ya siku moja ya kikazi nchini Tanzania kupita katikati ya gwaride maalum liloandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)
Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP) Said Mwema(kushoto) akisalimiana na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni leo jijini Dar es salaam mara baada ya kuwasili kwa ajili ya ziara ya siku moja ya kikazi nchini Tanzania.((Picha na Tiganya Vincent/Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

hostgator coupon code